Join Us

GILI HIGH SCHOOL

Usaili kwajili ya kidato cha tano 2024/2025 umeanza na unaendelea.

HAKUNA “INTERVIEW” Mwanafunzi awe amepata “Division I or II

FOMU ZA KUJIUNGA ZINAPATIKANA;

  • Gili high school – Kibaha, Mailimoja
  • Msimbazi center chumba no.09
  • Kwenye tovuti hii kwa kubonyeza >>  Download Form

VIGEZO VYA KUPATA NAFASI;

  1. Awe Msichana (Jinsia ya Kike)
  2. Awe Amefaulu kwa daraja la kwanza au la Pili (Division I au II) kwenye matokeo yake ya kidato cha nne
  3. Awe amehitimu Elimu ya kidato cha nne mwaka 2023

GILI SECONDARY SCHOOL

Usaili kwa kidato cha kwanza 2024 bado unaendelea kwa nafasi chache zilizobaki.

UTARATIBU;- Kwa mwanafunzi Kupata nafasi ya kujiunga na Gili Secondary School (kidato cha I – IV) inamlazimu afanye mtihani wetu wa Usahili (interview) na kuchaguliwa.

MUDA/SIKU;- Usaili/interview zinafanyika shuleni Gili Secondary School- Kibaha, Mailmoja siku zote za kazi kuanzia asubui saa mbili.

GARAMA YA USAILI/INTERVIEW: Kwa wanaojiunga na kidato cha kwanza ni Tsh 20,000/= Kwa wanafunzi wanaohamia ni Tsh 30,000/=

MAHITAJI: Mwanafunzi aje na picha (Passport size) tatu.

Kufahamu mchanganuo wa ada na mahitaji mengine bonyeza hapa kupata fomu yenye maelezo.

GILI PRE & PRIMARY SCHOOL

Wanafunzi wanaojinga na Baby class hawafanyiwi usaili/interview

wanafunzi wanaojiunga/wanaohamia kuanzia Pre-Unit, Grade 1-7 wanafanyiwa usaili ili wapate nafasi ya kujiunga nasi.

MUDA/SIKU;- Usaili/interview zinafanyika shuleni Gili Pre & Primary School- Kibaha, Mailmoja siku zote za kazi kuanzia asubui saa mbili.

GARAMA YA USAILI/INTERVIEW: Garama ya interview ni Tsh 20,000/=

MAHITAJI: Mwanafunzi aje na picha (Passport size) tatu.

Kufahamu mchanganua wa ada na mahitaji mengine Bonyeza hapa kupata fomu yenye maelezo