Baada ya mafanikio makubwa ya ufaulu, Gili Secondary sasa tunawaletea shule nzuri na bora ya awali na msingi ya kuitwa (ENGLISH MEDIUM) JANUARY
TUNA NAFASI ZA SHULE YA AWALI (PRE UNIT 1 AND PRE UNIT 2) NA SHULE YA MSINGI DARASA LA KWANZA HADI LA TANO (STD 1 AND STD 5)
JINSI YA KUJIUNGA
Usajili wa watoto unafanyika shuleni kila siku Jumatatu hadi Ijumaa saa mbili asubuhi, kuchukua fomu na gharama za fomu ni Sh 20,000/= kwa pre one mpaka darasa la tano na Sh 10,000/= kwa baby class.
Karibu
Fomu zinatolewa shuleni na kwenye tovuti yetu: www.gilischools.co.tz
- Simu: 0622 564 660 / 0714 477 216 / 0753 963 866 / 0692 796 969
- Email: info@gilischools.co.tz
- Facebook: Gili Primary School
- Instagram: Giliprimary school
- Twitter: giliprimary

USAFIRI UPO
tunapokea watoto kuanzia miaka miwili na nusu wanaoweza kuongea.